Hamia kwenye habari

JUNI 22, 2020
URUSI

Hatupaswi Kuogopa Mnyanyaso

Hatupaswi Kuogopa Mnyanyaso

Wakati wa mkutano wa kila mwaka wa 2019, Ndugu Mark Sanderson wa Baraza Linaloongoza alitoa hotuba yenye kichwa “Tunapaswa Kuogopa Nini?” Hotuba hiyo ilitia ndani kisehemu hiki cha video iliyo na masimulizi kutoka kwa baadhi ya ndugu na dada ambao wameteswa nchini Urusi.