Hamia kwenye habari

Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 2

Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 2

Unahitaji mashauri yenye kutegemeka! Kitabu hiki Maswali Ambayo Vijana Huuliza—Majibu Yafanyayo Kazi, Buku la 2, kitatosheleza uhitaji wako. Buku hili lina habari nyingi zinazotokana na mahojiano pamoja na mamia ya vijana ulimwenguni pote. Shauri lenye hekima la Biblia limewasaidia. Sasa jionee mwenyewe jinsi mashauri hayo yanavyoweza kukusaidia.

Buku hili litakusaidia kujibu maswali kuhusu:

  • Watu wa Jinsia Tofauti

  • Mabadiliko ya Maisha

  • Marafiki

  • Shule na Wanafunzi Wenzako

  • Pesa

  • Wazazi Wako

  • Hisia Zako

  • Burudani

  • Ukuzi Wako wa Kiroho

Unaweza kupakua kitabu hiki katika muundo wa PDF, au unaweza kuomba nakala iliyochapishwa ya kitabu hiki kwa kutuma ombi kwenye ofisi zetu.

Taarifa: Mfumo wa PDF wa kitabu hiki sasa una sehemu ambazo unaweza kuandika. Ikiwa kifaa chako kina uwezo huo, unaweza kuingiza maelezo yako na majibu moja kwa moja kwenye kitabu chako.