Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Desemba 19-25

2 WAFALME 18-19

Desemba 19-25

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Jinsi Wapinzani Wetu Wanavyojaribu Kutudhoofisha”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Fa 19:37​—Mstari huu unaonyeshaje umuhimu wa kuchunguza vizuri ikiwa ugunduzi wa vitu vya kale vilivyochimbuliwa unategemeka? (it-1 155 ¶4)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Fa 18:1-12 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

MAISHA YA MKRISTO