Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

Kwa Nini Wakristo Wanapaswa Kujitahidi Kufikia Mapendeleo?

Kwa Nini Wakristo Wanapaswa Kujitahidi Kufikia Mapendeleo?

Ndugu na dada hujitahidi kufikia miradi ya kiroho, kama vile upainia, utumishi wa Betheli, na ujenzi wa Majumba ya Ufalme. Isitoshe, akina ndugu hujitahidi kufikia kuwa waangalizi. (1Ti 3:1) Je, hilo linamaanisha Wakristo wanapaswa kujitahidi kufikia pendeleo fulani kwa sababu wanafikiri litawafanya kuwa watu wa maana au wenye cheo fulani?

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA KWA NINI UJITAHIDI KUSTAHILI MAPENDELEO? (1TI 3:1), KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

Maandiko yafuatayo yanaweza kutusaidiaje kufahamu sababu tatu za kujitahidi kustahili mapendeleo?