Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

“‘Ridhika na Vitu vya Sasa’”

“‘Ridhika na Vitu vya Sasa’”

Ikiwa sisi ni maskini sasa hivi, huenda tukashawishiwa kufanya jambo ambalo linaweza kuharibu hali yetu ya kiroho. Kwa mfano, huenda tukapata nafasi ya kujipatia pesa nyingi lakini nafasi hiyo ikafanya iwe vigumu kwetu kumtumikia Yehova. Kutafakari andiko la Waebrania 13:5 kutatusaidia.

“Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa”

  • Sali kisha ufikirie kwa makini pesa ni muhimu kadiri gani kwako, na ufikirie mfano unaowawekea watoto wako.—g 9/15 6.

“Huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo”

“Sitakuacha wala kukutupa kamwe”

  • Amini kwamba Yehova atakusaidia kupata mahitaji ya lazima maishani ikiwa utatanguliza Ufalme.—w14 4/15 21 ¶17.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA JINSI NDUGU ZETU WANAVYOFURAHIA AMANI LICHA YA MATATIZO YA KIUCHUMI, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

Umejifunza nini kutokana na simulizi la Miguel Novoa?