Ungejibuje?
Ungejibuje?
ILITUKIA WAPI?
1. Tukio hili lilitukia katika jiji gani?
Chora mviringo kwenye jibu lako katika ramani.
Yopa
Yerusalemu
Ashkeloni
Gaza
◆ Kwa nini Samsoni alienda kwenye hekalu la Wafilisti?
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
◆ Kwa nini Samsoni alikuwa na nguvu nyingi sana?
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․․
▪ Zungumzeni Pamoja: Unajifunza nini kuhusu Yehova kutokana na simulizi hili?
ILITUKIA LINI?
Taja jina la kila mwandishi aliyeandika kitabu cha Biblia kilichoorodheshwa hapa chini, na uchore mstari unaounganisha kitabu na tarehe kilipokamilishwa kuandikwa.
475 K.W.K. 455 K.W.K. 443 K.W.K. 60-61 W.K. 65-66 W.K.
2. Nehemia
3. Esta
4. Waefeso
MIMI NI NANI?
5. Nilikataa kuacha karamu yangu ingawa niliitwa na mfalme.
MIMI NI NANI?
6. Paulo alinituma pamoja na Onesimo kupeleka barua kwa Waefeso na Wakolosai.
KATIKA TOLEO HILI
Jibu maswali haya na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.
Ukurasa wa 7 Zawadi moja kutoka kwa Mungu ni ipi? (Mhubiri 3:____)
Ukurasa wa 10 Mungu anawapa maskini ahadi gani? (Zaburi 9:____)
Ukurasa wa 13 Ni nini kinachosababisha matukio mabaya na mazuri? (Mhubiri 9:____)
Ukurasa wa 19 Unapaswa kutambua nini kuhusu mtu unayetarajia awe mwenzi wako wa ndoa? (1 Petro 3:____)
Watoto Watafute Picha
Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Eleza kwa maneno yako mwenyewe jambo linalotendeka katika kila picha.
(Majibu kwenye ukurasa wa 28)
MAJIBU KWA UKURASA WA 31
1. Gaza.—Waamuzi 16:21-30.
◆ Samsoni alijiingiza katika hali iliyosababisha unadhiri wake uishe.
◆ Yehova alimpa nguvu.—Waamuzi 16:28.
2. Nehemia, baada ya 443 K.W.K.
3. Mordekai, 475 K.W.K.
4. Paulo, 60-61 W.K.
5. Vashti.—Esta 1:9-12.
6. Tikiko.—Waefeso 6:21, 22; Wakolosai 4:7-9.