Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Usikose Toleo Lijalo la Amkeni!

Usikose Toleo Lijalo la Amkeni!

Kuanzia toleo la Januari 2013, gazeti la Amkeni! litakuwa na maandishi rahisi kusoma, michoro iliyoboreshwa zaidi, na makala mpya zifuatazo: “Msaada kwa Ajili ya Familia,” “Mahojiano,” “Nchi na Watu,” na “Tunayojifunza Kutokana na Historia.” *

Katika toleo la Januari 2013 la Amkeni!

Msaada kwa Ajili ya Familia​—“Jinsi ya Kuwasiliana na Kijana Wako”

Mahojiano​—“Mtaalamu wa Biokemia Anatueleza Kuhusu Imani Yake”

Nchi na Watu​—“Kutembelea Kamerun”

^ fu. 2 Baadhi ya makala hazitakuwa kwenye kila toleo.