AMKENI! Novemba 2013 | Maadili Yanayoboresha Maisha

Maadili yetu huamua mambo tunayotanguliza maishani, mahusiano yetu na wengine, na maadili tutakayowafundisha watoto wetu. Fikiria kanuni nne za maadili zinazotajwa katika Biblia ambazo zinaweza kuboresha maisha yetu.

Kuutazama Ulimwengu

Habari kuhusu: Kodi ya kanisa Ujerumani, kusifu kunaboresha ubongo, na idadi inayoongezeka duniani ya watu wanaodai “kutojihusisha na dini yoyote”

KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Jinsi ya Kuzungumza na Kijana Wako Kuhusu Kutuma Ujumbe Mchafu

Usisubiri mpaka mtoto wako atume ujumbe mchafu. Zungumza na kijana wako kuhusu hatari za kutuma ujumbe wa aina hiyo.

HABARI KUU

Maadili Yanayoboresha Maisha

Watu wengi wana maoni haya, ‘Ikiwa unahisi ni sawa kufanya jambo fulani, lifanye. Fuata moyo wako.’ Lakini je, ni jambo la hekima kuwa na maoni hayo? Ona kanuni za Biblia zinazotegemeka.

MAHOJIANO

Mpiga Piano Stadi Anaeleza kwa Nini Anamwamini Mungu

Muziki ulimsadikisha mtu huyu aanze kuamini kwamba kuna Muumba. Ni nini kilichomfanya aamini kwamba Biblia ni neno la Mungu?

Kukabiliana na Matatizo ya Kukoma kwa Hedhi

Kadiri ambavyo wewe na wapendwa wako mnajifunza kuhusu kipindi hiki cha mabadiliko, ndivyo mtakavyoweza kukabiliana kwa njia inayofaa na matatizo yanayohusiana nacho.

MAONI YA BIBLIA

Ndoa

Ona jinsi ambavyo madaraka ambayo Mungu amempa mume na mke yanaweza kuwasaidia wafanikiwe na wawe na furaha.

Je, Wewe “Huwa Karamu Siku Zote”?

Licha ya matatizo, jifunze jinsi unavyoweza kukazia fikira mambo mazuri na kuwa na shangwe moyoni.

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Unahangaikia Sura Yako Kupita Kiasi?

Ikiwa una tatizo na sura yako, unaweza kupataje usawaziko?

Nifanye Nini Ikiwa Nina Tatizo la Afya? (Sehemu ya 1)

Vijana wanne wanaeleza kinachowasaidia kukabiliana na matatizo yao ya afya na kudumisha mtazamo unaofaa.

Kwa Nini Mimi Hujikata Kimakusudi?

Kujiumiza kimakusudi ni tatizo linalowakumba vijana wengi. Kama una zoea hilo, unawezaje kupata msaada?

Vijana Wanasema Nini Kuhusu Kuahirisha Mambo

Sikiliza kile ambacho vijana wanasema kuhusu hatari za kuahirisha mambo na faida za kutumia wakati wako kwa hekima.

Yosefu Aokoa Uhai

Pakua hadithi hii na usome kuhusu Yosefu ambaye Mungu alimtumia kuokoa uhai wa taifa zima.