MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Januari 2017

Toleo hili lina makala za funzo za Februari 27 hadi Aprili 2, 2017.

Walijitoa Wenyewe kwa Hiari

Dada wengi ambao wametumikia kwenye nchi za kigeni, mwanzoni walikuwa na shaka kuhusu kuhamia huko. Walipataje ujasiri? Wamejifunza nini kutokana na utumishi wao katika nchi ya kigeni?

“Mtegemee Yehova na Ufanye Mema”

Yehova anafurahi kutufanyia kile ambacho sisi wenyewe hatuwezi kufanya. Lakini anatarajia tufanye yote tuwezayo. Andiko letu la mwaka 2017 linatusaidia jinsi gani kuwa na usawaziko?

Thamini Zawadi Yako ya Uhuru wa Kuchagua

Uhuru wa kuchagua ni nini na Biblia inafundisha nini kuihusu? Unaweza kuonyeshaje kuwa unaheshimu uhuru wa kuchagua wa wengine?

Kwa Nini Sifa ya Kiasi Bado Ni Muhimu?

Sifa ya kiasi ni nini na inahusiana jinsi gani na sifa ya unyenyekevu? Kwa nini ni sifa muhimu kusitawisha?

Unaweza Kudumisha Sifa ya Kiasi Unapojaribiwa

Tunaweza kudumisha sifa ya kiasi jinsi gani hali zetu zinapobadilika, tunapochambuliwa au kusifiwa na tunapokabili hali zenye misukosuko?

“Mambo Hayo Uwakabidhi Watu Waaminifu”

Waliozeeka wanaweza kuwasaidiaje vijana kukubali majukumu zaidi? Vijana wanaweza kuonyesha jinsi gani kwamba wanawathamini wale ambao wamekuwa wakisimamia kazi kwa miaka mingi?

Je, Wajua?

Katika nyakati za Biblia, moto ulisafirishwaje kutoka sehemu moja hadi nyingine?