Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Ukurasa wa 32

Ukurasa wa 32

Ukurasa wa 32

Mungu amechukua hatua gani tatu za kukomesha mateso ya wanadamu? ONA UKURASA WA 5-6.

Ni mambo gani hususa ambayo unaweza kufanya ili kumfariji mjane? ONA UKURASA WA 10-12.

Kwa nini mfuasi wa Kristo anapaswa kuwahubiria wengine? ONA UKURASA WA 17.

Ni jambo gani moja unaloweza kufanya ili kumsaidia mtoto wako kuwa mtu mzima anayetimiza madaraka yake? ONA UKURASA WA 19.

Ni nini kilichomchochea mtu fulani aliyepinga mamlaka ya kidini na ya serikali kuwa mhudumu wa kidini? ONA UKURASA WA 28-29.