MNARA WA MLINZI Agosti 2014 | Je, Mungu Anapendezwa na Wewe?
Ikiwa Mungu anakujali, utajuaje?
HABARI KUU
Mungu Anaweza Kukufariji
Vipi ikiwa unadhani shida zako si kitu ikilinganishwa na mabilioni ya wanadamu ulimwenguni, baadhi yao wakiwa na matatizo makubwa kuliko wewe?
BIBLIA HUBADILI MAISHA
Nilikuwa Nikipambana na Jeuri na Ukosefu wa Haki
Antoine Touma alikuwa stadi wa Kung Fu, lakini andiko la 1 Timotheo 4:8 lilibadili maisha yake.
IGENI IMANI YAO
“Tafadhali Sikilizeni Ndoto Hii”
Familia yenye misukosuko ya Yakobo inatoa mafunzo muhimu kwa wale walio na familia za kambo leo.
WASOMAJI WETU WANAULIZA
Ni Nani Aliyemuumba Mungu?
Je, kuamini kwamba Mungu amekuwepo sikuzote kunapatana na akili?
Majibu ya Maswali ya Biblia
Je, inawezekana kwamba dini fulani hazimpendezi Mungu wa kweli?
Habari Zaidi Mtandaoni
Je, Mungu Ni Nguvu Zisizo na Utu?
Biblia inasema kwamba Mungu aliumba vitu vyote, lakini je, anatujali?