Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Mawazo Yetu Inaonyesha Kama Tuko Waaminifu-Washikamanifu ao Hapana

Mawazo Yetu Inaonyesha Kama Tuko Waaminifu-Washikamanifu ao Hapana

Tunaonyesha kama tuko waaminifu-washikamanifu hapana tu kupitia mambo yenye tunasema ao kufanya lakini pia kupitia mambo yenye tunawaza. (Zb 19:14) Njo maana Biblia inatuambia tufikirie mambo yoyote yenye kuwa ya kweli, yenye kuwa ya hangaiko nzito, ya haki, yenye kuwa safi, yenye kustahili kupendwa, yenye kusemwa muzuri, tabia zozote za muzuri, na mambo yoyote yenye kustahili sifa. (Flp 4:8) Ni kweli kama hatuwezi kuzuia mawazo ya mubaya kuingia mu akili yetu. Lakini, kujizuia inaweza kutusaidia tutoshe mawazo ya mubaya mu akili yetu na tuibadilishe na mawazo ya muzuri. Kama tuko waaminifu-washikamanifu mu mawazo yetu, ile itatusaidia tukuwe waaminifu-washikamanifu mu matendo yetu.—Mk 7:​21-23.

Chini ya maandiko yenye kufuata, uandike mawazo yenye tunapaswa kuepuka:

Ro 12:3

Lu 12:15

Mt 5:28

Flp 3:13