UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Mwanadamu Anaweza Kuwa na Faida kwa Mungu?”
Elifazi alisema kama hatukuwake na faida mbele ya Mungu (Yob 22:1, 2; w05-SW 15/9 uku. 27 fu. 1-3)
Elifazi alisema kama hata kama tuko wenye haki, Mungu haangaikiake ile (Yob 22:3; w95-SW 15/2 uku. 27 fu. 6)
Tunaweza kumupatia Yehova nafasi ya kumujibia Shetani, mwenye iko namuchokoza (Mez 27:11; w03-SW 15/4 uku. 14-15 fu. 10-12)
ULIZO YA KUTAFAKARI: Kujua kama uko na faida kwa Mweza-Yote kunakufanya ujisikie namna gani?