Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Mwanadamu Anaweza Kuwa na Faida kwa Mungu?”

“Mwanadamu Anaweza Kuwa na Faida kwa Mungu?”

Elifazi alisema kama hatukuwake na faida mbele ya Mungu (Yob 22:1, 2; w05-SW 15/9 uku. 27 fu. 1-3)

Elifazi alisema kama hata kama tuko wenye haki, Mungu haangaikiake ile (Yob 22:3; w95-SW 15/2 uku. 27 fu. 6)

Tunaweza kumupatia Yehova nafasi ya kumujibia Shetani, mwenye iko namuchokoza (Mez 27:11; w03-SW 15/4 uku. 14-15 fu. 10-12)

ULIZO YA KUTAFAKARI: Kujua kama uko na faida kwa Mweza-Yote kunakufanya ujisikie namna gani?