Tarehe 14-20/10
ZABURI 96-99
Wimbo 66 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. “Mutangaze Habari Njema”!
(Dak. 10)
Tangazia wengine habari njema (Zb 96:2; w11 1/3 uku. 6 fu. 1-2)
Uwaambie habari njema kuhusu Siku ya Hukumu (Zb 96:12, 13; w12 1/9 uku. 16 fu. 1)
Uwaambie kuhusu kusudi ya Yehova ya kujaza dunia na watu wenye kutukuza jina yake (Zb 99:1-3; w12 15/9 uku. 12 fu. 18-19)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Zb 96:1—Mara mingi, maneno “wimbo mupya” inamaanisha nini? (it-1 uku. 425)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 98:1–99:9 (th somo ya 11)
4. Kujitoa Sana—Mambo Yenye Yesu Alifanya
(Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO, kisha muzungumuzie lmd somo ya 10 nukta ya 1-2.
5. Kujitoa Sana—Umuige Yesu
(Dak. 8) Mazungumuzo yenye kutegemea lmd somo ya 10 nukta ya 3-5 na “Ona Pia.”
Wimbo 9
6. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
7. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 16 fu. 10-18