AMUKA! Mwezi wa 5, 2015 | Tumaini kwa Wasio na Makao na kwa Masikini

Biblia inaonyesha namna ya kusaidia watu wasio na makao na masikini, tena inazungumuzia wakati unaokuja, wakati watu hawatakosa tena makao ao kuwa masikini.

HABARI FULANI ZA ULIMWENGU

Habari Fulani za Asia

Inchi za Asia zinapambana na matatizo gani ili kusomesha na kulinda wakaaji wake? Hekima ya Biblia inaweza kusaidia?

HABARI KUBWA

Tumaini kwa Wasio na Makao na kwa Masikini

Kanuni zenye kufaa za Biblia zinaweza kupunguza mahangaiko yako juu ya feza na kukusaidia kuwa na amani ya akili.

MUSAADA KWA FAMILIA

Kufundisha Watoto Kutii

Kila mara wewe na mutoto wako wa miaka ine munapigania uongozi, na kila mara inaonekana ni mutoto wako ndiye anapata ushindi? Mambo tano yenye yanaweza kukusaidia kulea watoto.

“Mungu Anatusaidia Kupona”

Watu watatu waliokamatwa kwenye shambulio la masomo huko Beslan katika mwaka wa 2004 wanaeleza namna wamepambana na woga wa tukio hilo.

MAMBO YENYE HISTORIA INATUFUNDISHA

Al-Khwarizmi

Mutu huyo aliyeishi kati ya mwaka wa 701 na 801 ndiye alitokeza “chombo cha maana sana katika hesabu chenye kimekwisha kutokea.”

MAWAZO YA BIBLIA

Jeuri

Mungu anawaza nini juu ya jeuri? Watu wenye jeuri wanaweza kubadilika?

KITU HIKI KILIJIFANYA CHENYEWE?

Kiungo cha Kutoa Mwangaza cha Ngisi wa Hawaii

munyama huyo anatoa mwangaza wake mwenyewe—lakini haiko ili aone ao aonekane.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme?

Ingia ndani ili ujionee weye mwenyewe.

Sema Tafazali na Aksanti

Caleb anajifunza kama kusema maneno hayo kunabadilisha kabisa mambo.