MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 6, 2013

Gazeti hili litatusaidia tupendezwe sana na sifa zingine za Yehova kuliko kufikiria tu sifa zake kubwa.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Kumutii Yehova Kumetuletea Baraka Nyingi

Soma masimulizi ya maisha ya Elisa Piccioli. Ameendelea kuwa na maoni mazuri kuhusu maisha hata ikiwa alipatwa na matatizo, aliishi maisha ya kujitoa, na alipoteza mambo fulani.

Tupendezwa Sana na Sifa za Yehova

Inamaanisha nini kuwa mwenye kukaribiwa kwa urahisi na kuwa bila ubaguzi? Kuchunguza mufano ambao Mungu anatuwekea kutakusaidia kuonyesha sifa hizo.

Yehova Ni Mukarimu na Mwenye Usawaziko

Yehova anatutolea mufano muzuri sana wa ukarimu na usawaziko. Kujifunza mufano wake kutatusaidia tuonyeshe sifa hizo.

Yehova Ni Mushikamanifu na Mwenye Kusamehe

Rafiki wa kweli anapaswa kuwa mutu mushikamanifu na mwenye kusamehe. Kuiga mufano wa Yehova kutatusaidia kuonyesha sifa hizo za maana.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

“Wana wa Mungu wa kweli” na “roho walio katika gereza” ambao Biblia inazungumuzia ni nani?

Acha Nizamu ya Yehova Ikufinyange

Yehova, ‘Mufinyanzi wetu,’ amefinyanga mutu mumoja mumoja na hata mataifa mazima. Hilo linatufundisha nini, na namna gani tunaweza kufaidika Yehova anapotufinyanga leo?

Wazee—Je, Mutaburudisha ‘Nafsi Zilizochoka’?

Namna gani wazee wanaweza kujitayarisha kwa ajili ya ziara za uchungaji? Wazee wanaweza kutia moyo mutu mwenye kuchoka ao mwenye kuvunjika moyo kwa kumutolea ‘zawadi ya kiroho.’

Je, Unakumbuka?

Umesoma kwa uangalifu habari zilizozungumuziwa hivi karibuni katika Munara wa Mulinzi? Basi, jaribu kuona ni mambo gani unayokumbuka.