MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 3, 2013

HABARI KUBWA

Je, Kweli Yesu—Alifufuliwa?

Kwa sababu ufufuo wa Yesu ni fundisho la maana la Biblia, tunahitaji kujua ikiwa Yesu alifufuliwa kweli.

HABARI KUBWA

Ufufuo wa Yesu Unatuwezesha Kupata Uzima!

Wazia uzima wa milele bila maumivu, mateso, ao huzuni.

Je, Ulijua?

Namna gani Wayahudi walioishi kati ya mwaka wa 1 na 100 walitayarisha maiti kwa ajili ya maziko? Je, Yesu alizikwa kama vile Wayahudi wengine walivyokuwa wanazikwa?

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Je, Yesu Alimuahidi Yule Mutenda-mabaya Uzima Mbinguni?

Yesu alimuahidi yule mutenda-mabaya hivi: “Utakuwa pamoja nami katika Paradiso.” Alimaanisha nini?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

“Niliona, Lakini Sikuweza Kusikia”

Olivier alipambana na magumu ya pekee kwa sababu alikuwa kiziwi. Ona namna Yehova alivyomusaidia kwa njia ya pekee.

MUKARIBIE MUNGU

“Ni Amri Gani Iliyo ya Kwanza Kati ya Zote?”

Mungu hatuombe mambo mengi.

TEACH YOUR CHILDREN

Petro na Anania Walisema Uongo—Tunaweza Kujifunza Somo Gani?

Ona sababu gani mutu mumoja aliyesema uongo alisamehewa lakini mwengine hakusamehewa.

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Wakristo?

Tafazali ona mambo yanayotutofautisha na dini zingine zinazojiita za Kikristo.