MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 1, 2014 | Kifo Ndio Mwisho wa Mambo Yote?
Kifo ni habari yenye kuhuzunisha. Ndani ya moyo wao, watu wengi wanatumaini kwamba hawatakufa kabisa. Kifo kinaweza kushindwa?
HABARI KUBWA
Uchungu wa Kifo
Siku moja sisi wote tutalazimika kupambana na kifo. Uchungu mukali wa kifo unafanya watu wengi watafute majibu.
HABARI KUBWA
Wanadamu Wanapiganisha Kifo
Katika historia, wanadamu wametafuta njia za kupiganisha kifo. Inawezekana kushinda kifo?
HABARI KUBWA
Kifo Si Mwisho wa Mambo Yote!
Sababu gani Yesu alilinganisha kifo na usingizi? Tunaweza kujifunza nini kutokana na ufufuo mbalimbali unaozungumuziwa katika Biblia?
MAZUNGUMUZO YA BIBLIA PAMOJA NA JIRANI
Sababu Gani Mungu Anaacha Watu Wateseke?
Kitabu cha kwanza cha Biblia kinafasiria sababu gani Mungu anaacha mambo mabaya yatokee ijapokuwa ana uwezo wa kuyazuia yasitokee.
Je, Ulijua?
Wakati wa Yesu, michango ilifanywa namna gani kwenye hekalu? Luka, muandikaji wa Biblia, alieleza habari bila makosa?
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
“Yehova Hakunisahau”
Mwanamuke huyu aliyependa sana mambo ya dini alipata mwishowe majibu ya Biblia juu ya maulizo yake, kama vile sababu gani tunakufa na tunapatwa na nini kisha kufa. Soma namna kweli ilibadilisha maisha yake.
Ufufuo Tumaini kwa Watu Waliokufa
Mitume wa Yesu waliamini kabisa ufufuo. Sababu gani?
Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Unajua nini juu ya Mungu? Namna gani tunaweza kumujua vizuri?
Usikose Pia Kusoma Habari Hizi
Mungu Anapenda Nifanye Nini?
Je, unahitaji ishara, maono, ao mwito wa pekee ili kujua yale ambayo Mungu anapenda ufanye? Ona jibu la Biblia.