Umefurahia mambo yenye umejifunza?
Unapenda kujifunza mambo mingi zaidi yenye iko mu Biblia?
Hii ni kukuonjesha tu mambo yenye iko mu kitabu Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo.
Tutakupatia ile kitabu na tutajifunza na weye bila kukuomba makuta. Tutafurahi kujifunza na weye saa na fasi yenye unapenda.
Wakati tutakuwa najifunza utajua mambo mingi. Kwa mufano, utajua:
Juu ya nini tuko hapa ku dunia
Namna ya kupata amani ya kweli
Namna ya kuwa na furaha mu familia
Namna maisha itakuwa mu siku zenye ziko nakuya